Ujue undani wa iPhone XS Max
Moja kati ya simu ambazo ni ghali mpaka hivi leo tangu kutoka kwake basi iPhone...
India yapiga marufuku programu ya TikTok
Serikali ya India imepiga marufuku programu maarufu ya TikTok pamoja na...
WhatsApp yaanzisha huduma ya kutumiana Pesa
Baada ya miezi ya kadhaa ya tetesi hatimaye wamiliki wa app ya WhatsApp...
Huawei AppGallery duka la tatu kwa ukubwa baada ya Play Store na App store
Hivi karibuni Huawei ilitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu uzinduzi wa...
Fahamu nini maana ya APK kwenye Android! #Maujanja
Kwa wengi bila ya shaka washasikia neno linalotamkwa kwa herufi tatu la APK....
Mashirika ya simu China yaanza kutoa huduma za 5G kwa miji 50
Huduma ya Intaneti yenye kasi zaidi ya teknolojia ya 5G imeanza kutolewa na...
Sarafu: App ya Azam inayomrahisishia mteja kununua bidhaa na kufikishiwa mpaka alipo bure
Dunia kote huduma zinarahisishwa zaidi kupitia teknolojia kwa sasa, na kampuni...
Instagram ya Ronaldo: Atengeneza Tsh Bilioni 2 kwa kila post ya udhamini
Nyota wa klabu ya Juventus, Cristiano Ronaldo, ametakiwa kukodisha akaunti yake...
Hizi hapa simu mbili za Mara X na Z kutoka Rwanda
Katika kuhakikisha kwamba jamii yake inapata teknolojia kwa bei nafuu zaidi...
Rwanda wazindua simu janja mbili, simu kupatikana kwa malipo ya taratibu (contract)
Rwanda wazindua simu janja za kisasa na bei nafuu zilizotengenezwa nchini humo....
5G Afrika Kusini: Huawei yapeleka teknolojia ya 5G Afrika Kusini
5G yaanza kupatikana katika nchi ya kwanza Afrika. Baada ya ‘figisu...
Leseni za WhatsApp Kenya: Wamiliki makundi ya WhatsApp watakiwa kuwa na Leseni
Katika kudhibiti majukwaa ya mitandao ya kijamii, watawala nchini kenya...
Kampuni ya mikopo mtandao ya TALA yafunga shughuli zake Tanzania
Kampuni ya TALA inayokopesha kwa njia ya mtandao wa simu za mkononi, imetangaza...
TCRA yatangaza kuja kwa Kisimbusi kimoja kwa Chaneli zote nchini
Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA wametangaza kuja na kisimbusi kimoja...
Bunge kuendesha shughuli zake kimtandao
Bunge la Tanzania kupitia spika wake Job Ndugai limetangaza kuendesha shughuli...
EyeQue Check: Kifaa cha kupima macho nyumbani
EyeQue ambayo ni kampuni iliyoko Newark, California nchini Marekani imetoa...
Oppo Reno 10X Zoom: Hili ndio toleo rasmi kwa mashabiki wa FC Barcelona
Kama wewe ni shabiki kindakindaki wa timu ya FC Barcelona ya nchini Uhispania,...
Idadi ya watumiaji wa Intaneti yaongezeka Ulimwenguni
Idadi ya watumiaji wa intaneti duniani imezidi kuongezeka na huku bara la...
YouTube inalipa! Mtoto, Boram anunua jengo la ghorofa 5 la thamani ya dola milioni 8
Ushawahi kujiuliza kama YouTube inalipa kwa mambo mengine nje ya muziki na...
Huawei: HongMeng OS si mbadala wa Android na si ya simu janja
Katika hali isiyotarajiwa Huawei imetangaza kuwa mfumo wake endeshi wa simu...