Apple yaondoa ulazima wa wateja kuvaa barakoa kwenye maduka yake
Kwa karibu miaka mitatu sasa duniani bado inapambana na janga la Virusi vya...
Hakuna tena mpango wa kuona ujio mpya wa BlackBerry ya 5G
BlackBerry ni jina lenye hishima kubwa na na kampuni mbili hadi sasa kwa...
Maboresho kukabiliana na uraibu wa matumizi ya Instagram
Moja ya sababu ya watu kununua kifurushi cha intaneti ni kuweza kuperuzi...
Machache kuhusu simu janja Xiaomi 12 Ultra
Mwaka huu Xiaomi 12 Ultra itatoka na simu hii inaonekana isiwe tofauti sana ile...
Fununu: Simu janja ijayo ya Motorola kuwa na kamera yenye MP 194
Motorola wapo njiani kuja na simu janja mpya ambayo inaonekana kuna nguvu...
Kutumia Windows 11 Pro kuhitaji akaunti ya Microsoft
Toleo jipya la programu endeshi kutoka kwenye familia ya Windows inapata wateja...
Uchina: Honor yashika nafasi ya pili kimauzo kwenye robo ya nne ya mwaka 2021
Mauzo ya simu janja nchini Uchina katika robo ya nne ya mwaka 2021 yameshuka...
Simu janja Lenovo Legion Y90 kutoka Februari 28
Kwenye ulingo wa simu janja ambazo zina uwezo mkubwa kwa maana ya kuweza...
Simu janja Nokia G11 yazinduliwa bila matangazo
Nokia G11 ni simu janja iliyozinduliwa lakini haikuwa na shamrashamra za...
WhatsApp yarudisha sura ya zamani ya mpangilio mpya wa namba za simu
Unaweza kusema WhatsApp ndio programu tumishi ambayo inafanyiwa maboresho mengi...
Mkono wa serikali ya Tanzania kuendelea kuwekeza kwa TTCL
Shirika mama la mawasiliano na la kwanza nchini Tanzania kwa kifupi...
Uwezekano wa kuweka picha ya nyuma kwenye WhatsApp Business
WhatsApp Business imekuwa msaada mkubwa kwa watu wengi hasa wale wanaopenda...
Sura mpya ya WhatsApp Beta wakati wa kupiga simu
WhatsApp ni moja ya programu tumishi ambayo imekuwa ikifanyiwa maboresho mara...
Google yapeleka toleo la awali kabisa la Android 13 kwa waundaji
Wakati kuna simu janja nyingi tuu duniani zikiwa bado hazijapelekwa toleo la...
Uwezo wa kutuma ujumbe wakati mwingine kwenye Gmail
Mawasiliano kwa njia ya barua pepe yamekuwa yakisaidia uharaka wa kupata...
Tanzania: Wanaofanya biashara mtandaoni kulipa kodi
Chanzo kikuu cha mapato kwenye nchi yoyote ni kodi na kama hazikusanywi basi...
Uwezekano wa Facebook na Instagram kufungwa bara la Ulaya
Facebook ni mtandao wa kijamii ambao una watumiaji wengi zaidi duniani lakini...
Google: Urahisi wa upatikanaji wa msaada kwa wanusurika wa manyanyaso
Katika moja ya vitu ambavyo vinagharimu maisha ya watu halikadhalika uchumi wa...
Vionjo vya Android 12 kwenye Galaxy Z Flip 5G
Toleo la Android 12 ndio habari ya sasa ambayo inaanza kwenda kwenye simu janja...
Uwezo wa kushusha ripoti kwenye WhatsApp Desktop
Moja ya njia rahisi siku hizi kutumia WhatsApp kiraisi hasa kwa sisi ambao kazi...