AI Yatengeneza Virusi 16 Vya Kibiolojia Vipya Kwa Mara Ya Kwanza Katika Historia. Je, Tunapaswa Kuhofu?
Dondoo Muhimu Watafiti wa Chuo Kikuu cha Stanford na Arc Institute wametumia AI...
OpenAI Yaipunguzia Uwezo Modeli Yake ya AI Astra Baada ya Kuonyesha Uwezo Hatari wa Cybersecurity.
Dondoo Muhimu OpenAI imesitisha baadhi ya kazi za maendeleo ya Astra, modeli...
Mwanamke Aliyetumia Code Kuisaidia Afrika Wakati wa Mgogoro: Hadithi ya Juliana Rotich.
Dondoo Muhimu Mwaka 2008, Juliana Rotich alikuwa miongoni mwa waanzilishi wa...
Simu Mpya ya Google Pixel 11 Inakuja na Kitu Kinachoitwa HiLight, Unajua Kinachofanya?
Dondoo Muhimu Google Pixel 11 inatarajiwa kuja na kipengele kipya cha HiLight,...
Trump Asema Bunge la Congress Linataka Kufanya Akili Unde AI “Ishindwe Kibiashara”
Dondoo Muhimu Rais Donald Trump amesema Bunge la Congress linataka kudhibiti AI...
Moonshot AI ya China Yajiunga na Orodha ya Kampuni Zenye AI Zilizotoroka Mazingira ya Majaribio.
Dondoo Muhimu Kampuni ya China Moonshot AI imeripotiwa kuwa modeli yake Kimi K3...
OpenAI Yataka Mahakama Itupilie Mbali Kesi ya Apple: Yasema Haijawahi Kuiba Siri za iPhone.
Dondoo Muhimu OpenAI imeiomba mahakama ya Marekani kutupilia mbali kesi...
Uwezo wa kupiga/kupokea simu kupitia WhatsApp Web
Uwezo wa kupiga/kupokea simu kupitia WhatsApp web ni kitu ambacho watu wengi...
AI ya Meta Nayo Yadukua Mfumo wa Kampuni Nyingine Wakati wa Majaribio. Je, Sekta ya AI Inakabiliwa na Changamoto Mpya ya Usalama?
Dondoo Muhimu Meta imethibitisha kuwa modeli yake ya Muse Spark 1.1 ilifanikiwa...
Meta Yaomba Radhi Serikali ya India Baada ya Facebook na Instagram Kulaumiwa Kwa Maudhui Haramu.
Dondoo Muhimu Mark Zuckerberg ameripotiwa kuiomba radhi serikali ya India...
Vitu Vitano (5) Vinavyowachanganya Wengi Kuhusu Tecno Camon Slim.
Tecno imezindua Camon Slim, simu mpya yenye unene wa milimita 6.39, na ndani ya...
China Yamburuza Vibaya Marekani Kwenye Mashindano ya Olimpiki ya Maroboti.
Dondoo Muhimu China ilitawala World Humanoid Robot Games za kwanza...
Apple Yaiondoa Telegram Kwa Muda Kwenye App Store Baada ya Mtumiaji Mmoja Kushiriki Maudhui Haramu.
Dondoo Muhimu Apple iliondoa Telegram kwa muda kutoka App Store baada ya...
Trump Apanga Kupiga Marufuku Vifaa vya China Vinavyotumika Kwenye Data Center za AI Huko Marekani.
Dondoo Muhimu Utawala wa Trump unapanga kupiga marufuku uagizaji wa aina mpya...
Je, Rwanda Inaachana na 3G Ili Kujenga Uchumi wa Akili Mnemba Unaotegemea 5G?
Dondoo Muhimu Rwanda imepanga kuzima mtandao wa 3G ifikapo Juni 2027 na baadaye...
Bill Gates Asema Kazi Hizi 4 Tu Ndizo AI I tapata Ugumu Kuzichukua Kutoka Kwa Binadamu.
Dondoo Muhimu Bill Gates anaamini AI itabadilisha karibu kila taaluma, lakini...
Je, Mitandao ya Kijamii Inakufa Kimya Kimya Na Wengi Bado Hawajatambua?
Dondoo Muhimu Asilimia 55 ya watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Marekani...
Kwanini Musk, Zuckerberg, na Altman Wanapishana kuhusu Mustakabali wa AI.
Dondoo Muhimu Elon Musk anatabiri AI itawazidi binadamu ndani ya miaka mitano,...
Teknolojia Tano Zilizoifanya CIA Kuwa Shirika la Ujasusi Lenye Nguvu Zaidi Duniani.
Dondoo Muhimu Ndege ya U-2 (1955) iliruka kilomita 21 juu ya Soviet Union,...
Ujerumani Yaibana Suno AI Mahakamani: Muziki wa AI Unaotengenezwa Kwa Kuiba kazi za wasanii Unapaswa Kulipishwa.
Dondoo Muhimu Mahakama ya Mkoa wa Munich, Ujerumani, imetoa hukumu kwamba Suno...