Je wewe ni mtumiaji wa mtandao wa Tigo?
Mtandao huo umeomba msahama kwa tatizo la huduma zake kipindi cha wikiendi iliyoisha, hasa hasa jumapili.
Wamesema kisa cha huduma zao kusumbua kulisababishwa na kukatika kwa mkongo wa mawasiliana wanaoutumia.
Wamesema kisa cha huduma zao kusumbua kulisababishwa na kukatika kwa mkongo wa mawasiliana wanaoutumia.
Timu ya uandishi wa Kona ya Teknolojia ingefurahi kupata sapoti yako ili iendelee kukuletea habari na maujanja mbalimbali.
Wezesha bando kwa kutuma kiasi chochote kupitia Selcom, kwenye simu yako bofya *150*50*1# kwenye namba ya malipo weka 60751369 jina litakuja TEKNOKONA.
Mbunifu na mpenda teknolojia.Muda wangu umegawanyika kati ya kazi kibunifu @teknokonagroup na uandishi wa habari za Teknolojia hapa Teknokona Blog.| mhariri(at)teknokona.co.tz |
One Comment