
Habari hii imeripotiwa kwenye ukurasa huu wa Kichina, na zaidi kwenye mtandao wa Endgadget amabao unaeleza kwamba jaribio kama hili limewahi kufanyika huko marekani na matokeo yake, ilifahamika kwamba, pamoja na kuweka alama nyingi za upande wa watumia simu barabarani, bado watumiaji hao wa simu hata hawakutambua kwamba kulikuwa na alama zozote kama hizo za kuwaongoza – Ama kweli simu inachukua umakini wa watu! Je, ni muhimu kuwa na barabara kama hii kwenye nchi?
No Comment! Be the first one.